Monday, March 21, 2016

FAHAMU VYAKULA HATARI KWA AFYA YA MTOTO MCHANGA

Kuna vyakula ambavyo hutakiwi kumpa mtoto mara tu unapomuanzishia chakula ?


Ute wa mayai, karanga na jamii ya karanga, asali,Samaki wenye gamba/wasio na mifupa na matunda machachu (cirtrus ) ni “vyakula visivyofaa

kwa mtoto mchanga” Madaktari hushauri watoto wasipewe vyakula hivi adi wanapofikisha umri fulani.



Hata hivyo ni wazi kwamba Madktari wengi wa watoto huwa na mitizamo inayopingana juu ya jambo hili. Ukweli nikwamba tafiti za hivi karibuni zaonyesha kua hakuna ushahidi uliothibitika kisayansi kua Vyakula hivi havifai kwa mtoto mchabga adi afikishe umri fulani.


Je kunasababu yoyote ya msingi kuchelewa kumpa mtoto vyakula hivi ingawa tafiti zaonyesha ni vyakula salama kwa mtoto?

Mwaka 2008, AAP walitoa ripoti ya utafiti wenye kichwa hiki cha habari ,

Effects of Early Nutritional Interventions on the Development of Atopic Disease in Infants and Children: The Role of Maternal Dietary Restriction, Breastfeeding, Timing of Introduction of Complementary Foods, and Hydrolyzed Formulas.


Tafiti hii ilionyesha hakuna sababu yoyote ya kuchelewa kumpa mtoto chakula cha aina yoyote pale unapomuanzishia chakula kwani vyakula vyote ni salama na hakuna ushahidi wowote wa kisayansi unaoonyesha kwamba kuchelewa kumpa mtoto vyakula hivi humlinda na kumuepusha na uwezekano wa kupata magonjwa yenye uhusiano au asili ya aleji yaani Atopic Deseases

“Repoti hii bado huacha dukuduka hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba vyakula kama maziwa ya ng’ombe namaziwa ya unga ya watoto ,mayai na karanga mara nyingi huwapa watoto wadogo magonjwa yenye asili ya aleji”.



Je hii humaanisha nisalama kumpa mtoto wangu wa miezi 7 “vyakula visivyofaa kwa mtoto mchanga”?


Hapana,si salama. Ingawa ni kweli kwamba si vyakula hivi vyote husababisha magonjwa yenye asili ya aleji kwa mtoto ,nikweli kwamba vyakula hivi huatarisha afya ya mtoto kwa namna nyingine .

Kumbuka unaweza muanzishia mtoto chakula kati ya miezi 4-6 na si chini ya hapo. Wataalam wa afya wanashauri kumuhusisha Daktari wa watoto katika maamuzi yako ya kumuanzisha mtoto chakula,hasa ” vyakula visivyofaa kwa mtoto mchanga”

Chati hii ya “vyakula visivyofaa kwa mtoto mchanga” ni kwaajili yakukusaidia kutambua chakula kipi huweza kuleta madhara yapi katika afya ya mtoto.Piahuonyesha umri unaoshauriwa mtoto kuanza kula chakula hicho.Kama nilivyosema apo awali,si vyakula vyote hivi husababisha magojwa yenye asili ya aleji, na si lazima vyakula hivi vilete hathari kwa kila mtoto.

Chakula
Hathari
Umri wa kuanza kula chakula hiki
Asali Huweza kusababisha food poisoning na magojwa yasababishwayo na bakteria kwani kinga za mwili (immunity) katika utumbo wa mtoto hazijakua/komaa vyakutosha kukabiliana na bacteria hao Zaidi ya umri wa mwaka 1
Maziwa ya ng’ombe (yasiotolewa cream) Hudhoofisha afya ya mtoto kwani hayana virutubisho vyote muhimu vinavyofaa kwa makuzi na afya ya mtoto. (Maziwa ya ng’ombe hayafai kua mbadala wa maziwa ya mama au maziwa rasmi ya watoto wachanga)
Protini iliyopo kwenye maziwa yasiyotolewa cream ni ngumu kwa mtoto
kumeng’enya. Zaidi ya mwaka 1
Matunda machachu (citrus)
Huwa na asidi (acid) nyingi ambayo huweza sababisha vipele na maumivu ya tumbo kwa mtoto.(ingawa hii si aleji) Ni salama endapo mtoto atakula kwa kiasi kidogo kama tunda hili limechanganywa na matunda mengine yasiokua na asidi Zaidi ya mwaka 1
Maharage na brukoli Husababisha gesi tumboni Zaidi ya mwaka mmoja
Karanga na jamii ya karanga (korosho,kungu manga) Huweza kusababisha Aleji na Magonjwa yatokanayo na aleji. Protini yake ni ngumu kwa mtoto kumeng’enya
Hupalia (kupaliwa).vyema kutumia unga wake badala ya ile iliyoburuzwa Zaidi ya miezi sita (endapo haitampa aleji) Zaidi ya Mwaka 1 au 2
Mahindi (unga) Huweza kusababisha aleji na magonjwa yatokanayo na aleji Pia si tajiri wa virutubisho Zaidi ya miezi 6
Yai Huweza kusababisha aleji na magonjwa yatokanayo na aleji. Ni salama kula kiini cha yai tu Anaweza kula vyakula vyakuoka vilivyotiwa yai zima.(keki,mikate) Zaidi ya miezi 6
Zabibu Mbegu zake hupalia (kupaliwa) . Unaweza mpa maji yake yaliyochujwa endapo umechanganya na matunda mengine (kumbuka zabibu ina asidi nyingi) Zaidi ya miaka 2 Zaidi ya miezi 6
Samaki wenyegamba/wasiokua na mifupa (Shellfish/Crustaceans) Huweza kusababisha Aleji na magonjwa yatokanayo na aleji Inashauriwa kumpa mtoto samaki wa maji baridi Baada ya miezi 6 (ikimpa aleji jaribu baada ya miaka 2)

Chati hii na Mafunzo ya makala hii si mbadala wa Daktari wala isikufanye upuuze ushauri wa Daktari

Nimeandika makala hii kwa kutafsiri makala iliyoandikwa katika jarida la Umoja wa madaktari wa watoto wa Marekani. Wamethibitisha kua makala hiyo imeandikwa na wataalam wa afya kwa kuzingatia tafiti za shirika la afya duniani..

“It has been researched and compiled from various medical authorities such as private pediatricians, the AAP, the AAFP, and the WHO.”

2 comments:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete
  2. Uchawi wa mapenzi wa Dkt. Dawn hufanya maajabu kweli.

    Niliwasiliana na Dkt. Dawn wakati uhusiano wangu ulipovunjika kabisa. Mpenzi wangu wa zamani alikuwa ameniacha na kunizuia kwenye mitandao yote ya kijamii. Nilivunjika moyo na kupoteza tumaini. Baada ya kushauriana na Dkt. Dawn, kila kitu kilibadilika. Mpenzi wangu wa zamani alirudi peke yake, akaomba msamaha kwa dhati, na akaomba msamaha. Leo, tunaishi pamoja kwa furaha, na hata tuna mtoto.

    Maneno hayatoshi kuelezea jinsi ninavyoshukuru. Kutokana na uzoefu wangu, naweza kusema kwa ujasiri kwamba Dkt. Dawn ni halisi, anayetegemewa, na mwenye nguvu. Ikiwa unakabiliwa na hali yoyote ngumu maishani mwako hivi sasa, Dkt. Dawn anaweza kukusaidia.
    ANAWEZA KUKUSAIDIA KWA MATATIZO YAFUATAYO:
    Kurudisha ndoa na mahusiano yaliyovunjika
    Kuvutia mafanikio na ukuaji katika biashara
    Matatizo ya uanaume, utasa, na ukosefu wa watoto
    Kurejesha mali zilizoibiwa au zilizopotea
    Kurudisha kazi zilizopotea au fursa za kazi
    Kinga dhidi ya uchawi na macho mabaya
    Hirizi za mvuto
    Kutatua migogoro ya ardhi na mali
    Kuwafanya wapenzi kutimiza ahadi zao
    Kushinda kesi mahakamani, na mengine mengi
    Huu si ulaghai — ni ushuhuda kutoka kwa uzoefu.
    Kwa maelezo zaidi, wasiliana naye moja kwa moja kwenye WhatsApp. +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete