Tuesday, March 22, 2016

Soudy Brown kampata Nyoshi kwenye U HEARD kuhusu uhusiano wa Maji na weupe wake.

Ikiwa leo March 22, 2015 Dunia inaadhimisha siku ya maji.. SOUDY BROWN ametuleta U HEARD kupitia XXL ya Clouds FM ambapo amemtafuta mwimbaji ambaye ni kiongozi wa bendi ya FM Academia ,Nyoshi El Sadaat kuzungumzia suala hilo.

“kwa siku mimi nakunywaga kama glasi ndogo tu, kwa siku hata mara sita au mara 10 kwa sababu ya joto, na ukiwa unakunywa maji mengi sana hata ngozi yako inakuwa vizuri, nyororo, maji yanasaidia sana kwenye mwili wa binadamu”- Nyoshi

Soud Brown:Hivi Ray Kigosi wa Bongo Movie unamjua hivi ngozi yake ni unavyoiona maji au vitu vingine?

Nyoshi..’Ni kutumia maji mengi na mazoezi tu yaani ukiwa unafanya mazoezi kisha unakunywa maji mengi utaona ngozi yako inakuwa imara kabisa inanyooka inakuwa nzuri, mimi situmii makopo muda wote kwasbabau inaweza ikaharibu ngozi kwa kawaida natumia maji kuwa msafi kuoga ngozi yangu inakuwa imara kabisa na wala si makopo‘- Nyoshi

1 comment:

  1. Kwa karibu mwaka mmoja, mume wangu aliniacha mimi na watoto wetu wawili. Aliacha kujali, akaacha kupiga simu, na akaondoka kabisa. Nilikuwa nimevunjika moyo, nimechanganyikiwa, na karibu kupoteza tumaini. Kisha siku moja, rafiki yangu aliniambia kuhusu Dkt. Dawn, mtu wa kiroho aliyepewa kipawa na ulimwengu ili kuwasaidia watu kurejesha upendo na amani.

    Mwanzoni, nilikuwa na shaka, lakini kitu kuhusu maneno yake kilinipa amani. Aliniambia haswa kilichokuwa kibaya na kwamba mtu alikuwa ametupa uchawi mkali kututenganisha. Aliandaa kazi maalum ya kiroho na uchawi wa kuungana tena kwa ajili yangu - na ndani ya siku chache, mume wangu alinipigia simu ghafla, akilia na kuomba msamaha.

    Tangu wakati huo, maisha yangu hayajawahi kuwa sawa. Ndoa yetu sasa ni tamu na yenye furaha zaidi duniani. Tunapendana zaidi kuliko hapo awali, na nyumba yetu imejaa vicheko na baraka.

    Lakini sio hivyo tu - Dkt. Dawn pia alisaidia kuondoa bahati mbaya na nishati hasi iliyozunguka familia yetu. Tangu wakati huo, kila kitu kimekuwa laini: amani nyumbani kwetu, maendeleo ya kifedha, afya njema, na furaha safi.

    Ninashukuru ulimwengu kila siku kwa kuniongoza kwa Dkt. Dawn. Kwa kweli ni mtu mwenye nguvu na mwanga wa kimungu. Ikiwa unapitia hali yoyote - huzuni, bahati mbaya, au kuchanganyikiwa - usikate tamaa. Mfikie na uache ulimwengu ufanye kazi kupitia yeye ili kubadilisha hadithi yako, kama vile alivyobadilisha yangu.

    Wasiliana naye kwenye WhatsApp: +2349046229159
    dawnacuna314@gmail.com

    ReplyDelete